forked from WA-Catalog/sw_tn
676 B
676 B
Maelezo ya jumla
Katika mistari hii, malaika anamwelezea Danieli maana ya ishara ya vitu ambavyo aliviona katika maono yake. Wanyama na pembe zinawakilisha watawala wa kibinadamu au falme.
lakini si kwa nguvu zake mwenyewe
Hii yaweza kuelezwa kwa muundo chanya. "lakini mtu fulani atampa nguvu zake"
Ataufanya udanganyifu usitawi
Hapa neno "udanganyifu" unaongelewa kana kwamba alikuwa ni mtu ambaye atafanikiwa. "kiwango cha uongo utaongezeka"
chini ya mkono wake
Hapa "mkono" unarejelea utawala wake. "chini ya utawala wake."
Mfalme wa wafalme
HIi inamrejelea Mungu
akini si kwa mkono wowote wa binadamu
Neno ''mkono'' lina maana ya nguvu/mtawala.