forked from WA-Catalog/sw_tn
33 lines
828 B
Markdown
33 lines
828 B
Markdown
# moyo ulipokuwa na kiburi
|
|
|
|
Mahali hapa neno "moyo" linamrejelea mfalme mwenyewe.
|
|
|
|
# roho yake ilifanywa kuwa mgumu
|
|
|
|
Mahali neno "roho" linamaanisha mfalme mwenyewe. Kiburi chake kinasemwa kana kwamba kilikuwa kimefanywa kuwa kigumu.
|
|
|
|
# kwa kiburi
|
|
|
|
"kwa kiburi na zaidi ya kujiamini
|
|
|
|
# alishushwa kutoka kiti chake cha enzi cha kifalme
|
|
|
|
Mahali "kiti cha enzi" kina maana ya mamlaka yake ya kutawala. Hii pia yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "Watu waliutwaa ufalme wake."
|
|
|
|
# Aliondolewa katika ubinadamu
|
|
|
|
Hii yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. Watu walimfukuza atoke kati yao"
|
|
|
|
# alikuwa na akili za mnyama,
|
|
|
|
Mahali hapa neno "akili" lina maana ya mawazo. "Alifikiri kama vile mnyama anavyofikiri"
|
|
|
|
# umande
|
|
|
|
Ni unyevu nyevu ulio juu ya nchi ambao hupatikana nyakati za asubuhi.
|
|
|
|
# yeyote amtakaye
|
|
|
|
"yeyote amchaguaye"
|
|
|