forked from WA-Catalog/sw_tn
557 B
557 B
Ndipo Danieli alipoletwa mbele ya mfalme
Hii yaweza kuelezwa kwa kutumia muundo tendaji. "Kisha walimleta Danieli mbele ya mfalme" au "wanajeshi walimleta Danieli mbele ya mfalme"
ambao baba yangu mfalme aliwaleta kutoka Yuda
Katika kirai hiki, neno "baba" limetumika kumaanisha wanajeshi wote.
roho ya miungu
Belshaza aliamini kuwa nguvu za Danieli zilitoka kwa miungu ya uongo ambayo Belshaza aliiabudu.
mwanga na ufahamu na hekima bora inapatikana ndani yako
Hii yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "una mwanga na ufahamu na hekima bora"