forked from WA-Catalog/sw_tn
492 B
492 B
Maelezo ya jumla
Mistari ya 19-33 inatumia nafsi ya tatu kuelezea hukumu ya Nebukadneza
Agizo hili kinyume na Nebukadneza lilitekelezwa ghafla
Sentensi hii yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "Amri hii iliyo kinyume na Nebukadneza ilitokea ghafla"
Aliondolewa miongoni mwa watu
Sentensi hii yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "Watu walimfukuzia mbali mfalme atoke kwao"
makucha yake yalikuwa kama makucha ya ndege
"Makucha yake ya vidole yalionekana kama makucha ya ndege"