forked from WA-Catalog/sw_tn
442 B
442 B
Maelezo ya jumla
Mistari ya 19-33 inatumia nafsi ya tatu kuelezea hukumu ya Nebukadneza
Maelezo ya jumla
Maneno mengi katika mistari hii inafanana sawa sawa kama 4:15
ambalo limekufikia
"ambalo umelisikia"
Utafukuzwa utoke miongoni mwa watu,
Maneno haya yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "Watu watakufukuza utoke miongoni mwao."
Utafanywa uwe unakula majani
Hii yaweza pia kuelezwa kwa muundo tendaji. "utakula majani"