forked from WA-Catalog/sw_tn
620 B
620 B
magavana wa majimbo, magavana wa mikoa, na magavana
Angalia ulivyotafsiri katika 3:1
sanamu ambayo Nebukadneza aliyokuwa ameiweka
hii inamhusu Mfalme Nebukadneza ambaye aliweka sanamu iliyojengwa kana kwamba alijijenga mwenyewe. "Sanamu ambayo Nebukadneza aliwaagiza watu wake kuiweka."
mtangazaji
Huyu mtu ni mjumbe maalumu wa mfalme
mmeamriwa
Hii yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "Mfalme anawaagizeni ninyi"
zeze
Hivi ni vyombo vya muziki ambavyo ni sawa na vinubi. Muundo wake ni wa pembe tatu na vina nyuzi nne.
kuanguka na kuisujudia ninyi wenyewe
Haya ni matendo ya alama ya kuabudu.