forked from WA-Catalog/sw_tn
553 B
553 B
urefu wa dhiraa sitini na upana dhiraa sita.
"urefu wa takribani mita 27 na upana upatao mita tatu"
uwanda wa Dura
Hii ni sehemu ndani ya ufalme wa Babeli.
magavana wote wa majimbo, magavana wa mikoa, na magavana wa vijiji
Haya ni madaraja ya mamlaka juu ya himaya ya ukubwa fulani.
wahazini
hawa ni maafisa walikuwa wanawajibika kwa mambo ya fedha
sanamu aliyokuwa ameiweka
hii inamhusu Mfalme Nebukadneza ambaye aliweka sanamu iliyojengwa kana kwamba alijijenga mwenyewe. "Sanamu ambayo Nebukadneza aliwaagiza watu wake kuiweka."