forked from WA-Catalog/sw_tn
639 B
639 B
Maelezo ya jumla
Danieli anaendelea kuongea na mfalme
katika siku za wafalme hao
Katika kifungu hiki maneno "wafalme hao" yanawarejelea watawala wa falme zinazooneshwa katika sehemu mbalimbali za sanamu
ambao hautaweza kuangushwa, wala kushindwa na watu wengine
Maneno haya yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. " kwamba hakuna hata mmoja ambaya ataangamizwa, na ya kwamba watu wengine hawatashinda."
jiwe lilichongwa kutoka katika mlima, lakini si kwa mikono ya wanadamu
Maneno haya yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "mtu fulani alilikata jiwa kutoka mlimani, lakini si mtu aliyelikata"
kuaminika
aminifu na sahihi