forked from WA-Catalog/sw_tn
451 B
451 B
Maelezo ya jumla
Danieli anaendelea kuongea na Mfalme
yule afichuaye siri
Kirai hiki kinamrejelea Mungu. "Mungu ambaye hufunua siri"
siri hii haikufunuliwa kwangu
Hii yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "Mungu hakuifunua siri hii kwangu"
Siri hii imefunliwa kwangu ili kwamba wewe
Hii yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji.
Amefunua siri hii kwangu ili kwamba wewe
Kirai hiki kinatumia kiwakilishi "wewe" kumrejelea mtu katika akili.