forked from WA-Catalog/sw_tn
504 B
504 B
akili yangu ina mashaka
hapa neno "akili" linamrejelea mfalme mwenyewe.
mashaka
"kusumbuka"
Kiaramaiki
Hii ni lugha ambayo watu wa Babeli waliiongea.
" Mfalme, aishi milele!
Watu waliyasema maneno haya kuonesha heshima kwa mfalme. "Mfalme, tunatumaini utaishi milele"
sisi, watumishi wako
Watu walijiita wao wenyewe kuwa ni watumishi wa mfalme kuonesha heshima.
tutaifunua
Hapa kiwakilishi 'tu' kinarejelea watu/wanaume ambao mfalme alikuwa akiongea nao na hakimjumuishi mfalme.