tunayemtangaza...tunamwonya...tunamfundisha...tunaweza kumleta
Haya maneno hayawajumuishi Wakolosai.
tunamwonya kila mtu
"Tunamwonya kila mmoja"
Kwamba tumfikishe kwa Mungu kila mmoja
"kwamba tumfikishe kwa Mungu kila mmja"
Kikamilifu
"Wazima Kiroho"