forked from WA-Catalog/sw_tn
37 lines
884 B
Markdown
37 lines
884 B
Markdown
# Sentensi Unganishi:
|
|
|
|
Kristo hubadilisha dhambi za waumini wa mataifa kwa utakatifu wake.
|
|
|
|
# Na wewe pia
|
|
|
|
"Na ninyi Waamini wa Kolosai pia"
|
|
|
|
# Mlikuwa wageni kwa Mungu
|
|
|
|
"Mlikuwa mmtengwa kutoka kwa Mungu" au "mlikuwa mmesukumwa mbali naMungu."
|
|
|
|
# kuwaleta ninyi watakatifu, wasio na lawama mbele yake
|
|
|
|
Paulo anawaeleza Wakolosai ingawa Yesu aliwasafisha, kuwaweka katika nguo safi, na kuwaleta kusimama mbele ya Mungu Baba.
|
|
|
|
# bila lawama, na bila dosari
|
|
|
|
Paulo anatumia maneno mawili yenye maana zinazokaribiana kusisitiza wazo la ukamilifu. "kamili"
|
|
|
|
# mbele yake
|
|
|
|
"katika mtazamo wa Mungu" au "fikra ya Mungu"
|
|
|
|
# iliyotangazwa
|
|
|
|
ambayo waumini walitangaza
|
|
|
|
# kwa kila mtu aliyeumbwa chini ya mbingu
|
|
|
|
"kwa kila mtu katika dunia"
|
|
|
|
# injili ambayo mimi, Paulo, nimekuwa mtumishi
|
|
|
|
Paulo alikuwa mtumishi wa Mungu halizi. "injili ambayo mimi, Paulo, akimtumikia Mungu kwa kutaingaza"
|
|
|