sw_tn/act/27/09.md

429 B

Taarifa kwa ujumla

Maneno kama "sisi" "Tuli" inamaanisha Paulo na wengine waliokuwa katika meli.

Muda wa mfungo wa wayahudi ulikuwa umepita na haikuwa sasa hatari kusafiri.

Mfungo huu ulifanyika katika siku ya utakaso ambayo mara nyingi ilifanyika mwishoni mwa mwezi wa septemba au mwanzoni mwa mwezi wa octoba katika kalenda ya watu wa magharigi. Baada ya muda huo ilikuwa hatari kutokana na vimbunga vya mara kwa mara.