sw_tn/act/25/11.md

671 B

Maelezo yanayounganisha

Paulo akaendelea kuongea na Festo

Ikiwa nimefanya kinachostahili kifo

"ikiwa nimefanya jambo baya la kustahili adhabu ya kifo"

Ikiwa mashitaka si kitu

"ikiwa mashitaka yao juu yangu si ya kweli"

Hakuna anayeweza kunikabidhi kwao

Hii inamaanisha 1) Festo hana mamlaka ya kisheria ya kumkabidhi Pailo kwa waliomshaki mashitaka ya uongo au 2) Paulo alisema kwamba kama hajafanya kosa lolote basi gavana asisikilize maombi ya Wayahudi.

Namuomba Kaisari

"Naomba kwamba niende mbele ya Kaisari ili nisikilizwe"

Festo aliongea na baraza

Hili ni baraza la kisiasa la serikali ya Roma. "Festo aliongea na washauri wa serikali yake"