sw_tn/act/25/06.md

428 B

Baada ya kukaa

Baada ya Festo kukaa

Kukaa kwenye kiti cha hukumu

" kukaa juu ya kiti ili afanye kazi ya hakimu"

Paulo aletwe kwake

"kwamba wamlete Paulo kwake"

Alipofika

"Paulo alipofika na kusimama mbele ya Festo"

Jina la Wayahudi

"sheria ya wayahudi"

siyo dhidi ya hekalu

Paulo alisema hajavunja sheria yoyote kuhusu nani aingie kwenye hekalu la Yerusalemu. "siyo dhidi ya sheria za kuingia hekalini"