sw_tn/act/21/12.md

539 B

Taarifa ya jumla

Fungu hili linaelezea kumhusu Mwandishi Luka na baadhi ya waumini isipokuwa Paulo.

Mnafanya nini, mnataka kuvunja moyo wangu?

Paulo anauliza swali hili kuonyesha waumini wanapaswa kuacha kujaribu kumshawishi. 'Acheni, mnachofanya mnataka kunivunja moyo wangu.'

Kwa jina la Bwana Yesu

Hapa "jina" linamaanisha utu wa Yesu Kristo.

hakutaka kushawishiwa

Hakuweza kujaribu kumshawishi ili asiende Yerusalemu.

mapenzi ya Bwana yafanyike

Inamaanisha kuwa; lolote lile likitokea litakuwa kwa mpango wa Bwana.