sw_tn/act/19/11.md

441 B

Taarifa ya jumla

Fungu hili linazungumzia juu ya wale waliokuwa wagonjwa.

Mungu alikuwa akitenda makuu kupitia mikono ya Paulo hata waliokuwa wagonjwa waliponywa

Hapa "mikono" linasimamia maisha yote ya Paulo. Mungu alikuwa akimtumia Paulo kutenda miujiza.

walichukua leso na eproni kutoka mwili wa Paulo

Hivi vilikuwa vitambaa ambavyo Paulo alivivaa ama kuvitumia. Walipovigusa vitambaa amabvyo Paulo alivivaa wakati wa huduma.