sw_tn/act/17/03.md

799 B

Alikuwa akifungulia maandiko

Maana inawezekana ni 1) "Paulo alikuwa akieleza maandiko kwa usahihi ili watu waweze kuwa na uwezo wa kuelewa ni nini alikuwa akifundisha" au 2) "Paulo alikuwa akifungua kitabu au kitabu cha maandiko."

ilimpasa

"ilikuwa ni sehemu ya mipango ya Mungu"

kufufuka tena

"kurudi tena katika uhai"

kutoka wa wafu

"kutoka miongoni mwa wafu" anaelezea juu ya roho za watu ambao wamekwisha kufa. Kurudi kutoka miongoni mwao kunamaanisha kurudi katika uzima tena.

Wayahudi walishawishika

"Wayahudi walishawishika " au "Wayahudi walikubali"

na kuungana na Paulo

"na kuwa na ushirika na Paulo"

Wagiriki wacha Mungu

wale wenye kumcha Mungu lakini hawajabadilishwa kuingia dini ya kiyahudi kwa njia ya kutahiriwa.

umati mkubwa

"ni umati mkubwa wa watu"