forked from WA-Catalog/sw_tn
13 lines
395 B
Markdown
13 lines
395 B
Markdown
# Taarifa ya Jumla:
|
|
|
|
Waliofika Antiokia na kutoa taarifa ni Paulo na Barnaba. Aliyefungua mlango ni Mungu.
|
|
|
|
# kusanya kanisa pamoja
|
|
|
|
"wakawaita waumini wa palepale kukusanyika pamoja"
|
|
|
|
# alifungua mlango wa imani kwa Mataifa
|
|
|
|
Mungu kuwawezesha Mataifa kuamini inazungumziwa kana kwambaaliwafungulia mlango uliokuwa unawazuia kuingia katika imani. "Mungu alifanye iwezekane kwa Mataifa kuamini"
|
|
|