sw_tn/act/14/17.md

655 B

Kauli Unganishi:

Paulo na Barnaba wanaendelea kuzungumza na kundi nje ya mji wa Listra.

hakujiacha mwenyewe bila ya shahidi

Hii inaweza pia kuwekwa katika hali chanya. "hakika Mungu ameacha shuhuda" au "hakika Mungu ameshuhudia"

kwa kuwa

"kama inavyooneshwa na ukweli kuwa"

akiwajaza mioyo yenu kwa chakula na furaha

Hapa "mioyo yenu" inamaanisha watu. "akiwapa cha kutosha kula na vitu ambavyo vitawapa furaha"

Paulo na Barnaba wakawazuia makutano kuwatolea sadaka kwa nadra

Paulo na Barnaba waliwazuia makutano kuwatolea sadaka, lakini ilikuwa ni taabu kufanya hivyo.

wakawazuia ... kwa nadra

"walikuwa na wakati mgumu kuwazuia"