forked from WA-Catalog/sw_tn
33 lines
684 B
Markdown
33 lines
684 B
Markdown
# Sasa
|
|
|
|
Hili limetumika kutenganisha simulizi. Muda umekwishapita, sasa ni siku nyingine.
|
|
|
|
# Kulipokuwa mchana,
|
|
|
|
"Saa ya asubuhi"
|
|
|
|
# kukawa na huzuni kubwa
|
|
|
|
Kinyume cha huzuni kubwa ni "Furaha kubwa" Askari hao hawakuwa na furaha hiyo tena.
|
|
|
|
# Furaha kubwa
|
|
|
|
Hili linaelezea kinyume cha furaha kama; Msongo wa mawazo, mashaka, hofu na kuchanganyikiwa.
|
|
|
|
# kuhusu
|
|
|
|
"Kuhusiana na"
|
|
|
|
# Baada ya Herode kumtafuta na hakumwona
|
|
|
|
"Herode alimtafuta Petro na kushindwa kumpata"
|
|
|
|
# akawauliza walinzi na akaamuru wauawe
|
|
|
|
Ilikuwa ni adhabu ya kawaida kwa serikali ya Rumi kuua walinzi kama mfungwa wao aliwatoroka.
|
|
|
|
# Akaenda kutoka uyahudi mpaka Kaisaria
|
|
|
|
Kaisaria ilikuwa chini zaidi ya Yudea.
|
|
|