forked from WA-Catalog/sw_tn
29 lines
859 B
Markdown
29 lines
859 B
Markdown
# Sentensi unganishi
|
|
|
|
Luka anaelezea kuhusu kile kilichotokea kwa waumini waliokimbia baada ya kuuawa kwa Stefano kwa mawe.
|
|
|
|
# Sasa
|
|
|
|
Luka anatambulisha simlizi mpya
|
|
|
|
# waamini ambao mateso yalianzia kwenye kifo cha Stephano walitawanyika kutoka Yerusalemu-waamini hawa walienda mbali,
|
|
|
|
Mateso yaliyoanza na kifo cha Stefano yalisababisha waumini kukimbia na kusambaa maeneo mbalimbali.
|
|
|
|
# Wayahudi peke yake
|
|
|
|
Waumini walidhani ujumbe wa Mungu ulikuwa kwa ajili ya Wayahudi pekee na siyo kwa wamataifa pia.
|
|
|
|
# na kusema na wayunani
|
|
|
|
Watu aliokuwa wakiongea kiyunana nao walikuwa ni watu wa mataifa hawakuwa Wayahudi.
|
|
|
|
# Na mkono wa Bwana ulikuwa pamoja nao
|
|
|
|
Mkono wa Mungu unamaanisha nguvu zake. "Mungu alikuwa na nguvu kuwawezesha wale waumini kuhubiri kwa ujasiri".
|
|
|
|
# na kumgeukia Bwana
|
|
|
|
Wengi waliacha kuiamini miungu yao ya zamani, na walimwamini Yesu.
|
|
|