sw_tn/act/11/11.md

657 B

Tazama

Hili neno linaashiria kuanza kutajwa watu wengine kwenye simlizi hii.

Mara moja

"Mara hiyo bila kuchelewa"

Walikuwa wametumwa

"Mtu fulani alikuwa amewatuma"

na nisitofautiane nao.

"Kwamba nisipate cha kunitofautisha nao kwamba walikuwa wamataifa"

Hawa wanaume sita wakaenda pamoja na mimi

anaume sita wakaenda nami mpaka Kaisaria.

Hawa ndugu sita

"Hawa sita Wayahudi waumini"

Ndani ya nyumba ya mtu mmoja

Linaelezea nyumba ya Kornerio

Simoni aliyeitwa Petro

"Simoni ambaye pia aliitwa Petro"

utaokoka

Inaweza kuwa "Mungu atakuokoa"

Na wote wa nyumba yako

Linamaanisha; Wote wataokolewa walioko nyumbani mwako"