sw_tn/act/10/09.md

1.1 KiB

Sentensi unganishi:

Habari inabadilika kutoka kwa Kornelio kutuambia kile Mungu alikuwa anakifanya kwa Petro.

Wakati wa saa sita

"Ilikuwa saa sita mchana"

juu darini

Mapaa ya nyumba yalikuwa tambarare, na watu mara nyingi walifanya kazi mbalimbali juu yake.

wakati watu wanapika chakula,

"Kabla watu hawajamaliza kutayarisha chakula cha mchana"

Aliona maono

"Mungu alimpa Petro maono" au "Aliona maono"

akaona anga limefuguka

Huu ulikuwa ni mwanzo wa Maono ya Petro.

kitu fulani kama nguo kubwa ikishuka chini kwenye ardhi katika kona zake zote nne

Ndani ya chombo kilikuwa na wanyama na mwonekano wake ni kama nguo kubwa ya pembe nne.

kikishuka chini katika pembe zake nne.

"Kitambaa kikiwa na pembe zake nne juu zaidi ya kingine.

aina zote za wanyama wenye miguu minne na watambaao juu ya ardhi, na ndege wa angani

Wanyama wenye miguu... ndege wa angani. Mwitikio wa Petro kwa maono yale mstari unaofuata unaonyesha Wayahudi walikuwa wamepewa amri ya kutokula baadhi ya hao wanyama. "Wanyana na ndege ambao sheria ya Musa ilizuia wasipate kuliwa"