sw_tn/act/09/40.md

807 B

Sentensi unganishi

Simlizi ya Tabitha inaishia katika mstari 42, na mstari 43 unatuambia kilichokuwa kinaendelea kwa Petro baada ya simlizi ya Tabitha kumalizika.

Akawatoa wote nje

Kwa shauri hili, Petro aliwafanya kila mmoja kuondoka ili aweze kuwa pekee yake na kuomba kwa ajili ya Thabitha.

akampa mkono wake akamwinua

Petro alimshika mkono wake na kumsaidia kuinuka.

waumini na wajane,

Hata wajane yawezekana walikuwa waumini, lakini hapa wametambulishwa kwa jina la wajane kwasababu Tabitha alikuwa mtu muhimu kwao.

Jambo hili kujulikana Yafa yote

Muujiza wa Petro kumfufua Tabitha kutoka kwenye kifo ukajulikana na watu wote wa Yafa.

Walimwamini Bwana

"waliiamini injili ya Bwana Yesu."

Ikatokea kwamba Petro alikaa

"Ikatokea kuhusu kwamba Petro akakaa huko kwa muda"