sw_tn/act/09/05.md

476 B

Maelezo ya jumla

Kila kuwakilishi cha neno "wewe" linamaanisha umoja.

Wewe u nani, Bwana

Sauli hakupata kumjua Yesu kama Bwana. Hii ilikuwa ni tatizo kwamba alikuwa kwenye nguvu za ajabu

Lakini inuka ,ingia mjini

"inuka na uende katika mji wa Dameski"

utaambiwa yakupasayo

Mtu mmoja atakuambia

wakisikiliza sauti, wasione mtu

Waliisikia sauti, lakini hawakumwona mtu yeyote.

Bila kumuona yeyote

"Lakini hakumwona yeyote" Bali Sauli aliona mwanga tu.