sw_tn/act/08/12.md

458 B

Sentensi unganishi

Mistari hii anatoa maelezo zaidi kuhusu Simoni na baadhi ya Wasamaria waliokuwa wakimwamini Yesu.

Wakabatizwa.

Filipo aliwabatiza waamini wapya

Na Simoni mwenyewe aliamini

Neno "mwenyewe" linatumika kumwelezea Simoni naye aliamini.

Naye alibatizwa

Filipo alimbatiza Simoni pia.

Wakati alipoona ishara na miujiza iliyokuwa ikitendeka, alishangaa

Simoni alishangaa pale alipoona Filipo anafanya ishara na miujiza mikubwa