forked from WA-Catalog/sw_tn
21 lines
486 B
Markdown
21 lines
486 B
Markdown
# Sentensi unganishi
|
|
|
|
Hapa panaanzia simlizi inayomhusu Filipi, ambaye watu walikuwa wamemchagua kuwa shemasi,
|
|
|
|
# Ambao walikuwa wametawanyika
|
|
|
|
" waumini ambao walikuwa wametanyika kwa mateso makubwa".
|
|
|
|
# Alienda mpaka Mji wa Samaria
|
|
|
|
"Kwenda chini" Neno limetumika hapa kwasababu Samaria iko kwenye ukanda wa chini zaidi ya Yerusalemu.
|
|
|
|
# Mji wa Samaria
|
|
|
|
Haiko wazi kama ni mji wa Samaria katika mji wa Samaria.
|
|
|
|
# akamtangaza Kristo huko
|
|
|
|
Cheyo "Kristo" kinamwelezea Yesu, Masihi.
|
|
|