forked from WA-Catalog/sw_tn
17 lines
512 B
Markdown
17 lines
512 B
Markdown
# alishangaa na kustaajabia kile alichokiona
|
|
|
|
Musa alishangaa kwamba kichaka hakiungui moto. Hii ilijulikana na watazamaji wa Stefano.
|
|
|
|
# Aliposogelea kwenda kutazama ....Musa alitetemeka na hakuthubutu kuangalia
|
|
|
|
Hii inamaanisha Musa alikisogelea kichaka kwa karibu ili kuchunguza kilichokuwa kinatokea, lakini ghafla akarudi nyuma kwa hofu aliposikia sauti ikitoka ndani ya kichaka.
|
|
|
|
# Mimi ni Mungu wa baba zako
|
|
|
|
"Mimi ni Mungu ambaye baba zako waliniabudu"
|
|
|
|
# Musa alitetemeka
|
|
|
|
Musa alitetemeka kwa hofu.
|
|
|