sw_tn/act/07/01.md

574 B

Sentensi unganishi

Sehemu ya habari kuhusu Stefano iliyoanzia sura 6:8 inaendelea. Stefano anaanza kumjibu Kuhani Mkuu na baraza kwa kuanza kuzungumzia mambo yaliyotukia katika historia ya Israeli. Maelezo mengi ya Stefano yanatoka kwenye vitabu vya sheria vya Musa.

Maelezo ya ujumla

Kwenye mstari wa 2,Stefano anaanza hotuba yake kumjibu kuhani mkuu na baraza.Anaanza hotuba yake kwa kuongelea mambo yaliyotokea katika historia ya Israeli.

Ndugu na baba zangu,nisikilizeni mimi.

Stefano alikuwa akiheshimika sana kwenye baraza kwa salamu yake ya kifamilia.