forked from WA-Catalog/sw_tn
25 lines
713 B
Markdown
25 lines
713 B
Markdown
# Sentensi unganishi
|
|
|
|
Huu ni mwanzo wa sehemu mpya ya hadithi.
|
|
|
|
# Maelezo ya jumla
|
|
|
|
Mistari hii inatupa maelezo ambayo Stefano na watu wengine hali ilivyoendelea kuwa.
|
|
|
|
# Na Stefano
|
|
|
|
Luka anamwelezea Stefano kama kinara wa sehemu ya simulizi hii.
|
|
|
|
# Stefano, aliyejaa neema na nguvu, alikuwa akifanya
|
|
|
|
Neno "Neema" na "Nguvu" yanaelezea nguvu kutoka kwa Mungu. Yaani Mungu alikuwa akimpa nguvu Stefano za kutenda.
|
|
|
|
# Sinagogi la Mahuru
|
|
|
|
"Mahuru" walikuwa yumkini watumwa huru kutoka sehemu hizi tofautitofauti. Haijulikani kama watu wengine walioorodheshwa walikuwa sehemu ya Sinagogi au walishiriki tu katika mdahalo na Stefano.
|
|
|
|
# Kufanya mdahalo na Stefano
|
|
|
|
"kubishana na Stefano" au "kujadiliana na Stefano"
|
|
|