forked from WA-Catalog/sw_tn
17 lines
544 B
Markdown
17 lines
544 B
Markdown
# waliokuwa na hati za viwanja au nyumba
|
|
|
|
Umiliki wa hati za viwanja na nyumba kwa waliokuwa wanamiliki Yerusalemu
|
|
|
|
# waliviuza na kuleta pesa ya vitu waliyokuwa wameuza
|
|
|
|
Fedha ambayo walilipwa kutoka vitu walivyoviuza.
|
|
|
|
# Waliweka chini ya miguu ya mitume
|
|
|
|
Hii ilikuwa ni njia ya waumini: 1) kuonyesha waziwazi mabadiliko ya mioyo na 2) kuwapa mitume mamlaka juu ya namna zawadi inavyopaswa kutumika.
|
|
|
|
# mgawanyo ulifanywa kwa kila muumini, kulingana na kila mmoja alivyokuwa na hitaji.
|
|
|
|
Waligawanya pesa kwa waumini kwa aliyekuwa na uhitaji
|
|
|