sw_tn/act/04/21.md

594 B

Maelezo ya jumla

Msitari wa 22 unatoa habari ya nyumba kuhusu umri wa mtu kiwete aliyeponywa.

Baada ya maonyo zaidi

Wayahudi Viongozi waliwatishia Petro na Yohana kuwapa adhabu tena.

Hawakuweza kupata sababu yoyote ya kuwaadhibu

Viongozi hawakuweza kupata kujua kwa namna gani wawaadhibu Petro na Yohana bila ya kusababisha vurugu miongoni mwa watu waliomwona mtu aliyeponywa.

kwa kile kilichokuwa kimetendeka

Kwa kile Petro na Yohana walichokuwa wametenda

Mtu aliyekuwa amepokea muujiza wa uponyaji

Mtu yule ambaye Petro na Yohana walikuwa wamemtendea muujiza wa uponyaji.