forked from WA-Catalog/sw_tn
13 lines
335 B
Markdown
13 lines
335 B
Markdown
# Maelezo ya jumla
|
|
|
|
Neno "sisi" linaelezea Petro na Yohana, lakini si kwa wale ambao waliokuwa wakiwaelezea.
|
|
|
|
# Kama ni sahihi machoni pa Mungu
|
|
|
|
Neno "machoni pa Mungu" linamaanisha maoni ya Mungu. Kama Mungu anafikiri ni sawa kuwatii watu kuliko Mungu.
|
|
|
|
# hatuwezi kuacha kuyanena
|
|
|
|
"Lazima tutaendelea kunena" au "Hatutaacha kunena"
|
|
|