forked from WA-Catalog/sw_tn
37 lines
802 B
Markdown
37 lines
802 B
Markdown
# Sentensi unganishi
|
|
|
|
Petro anahitimisha hotuba yake kwa Wayahudi aliyoianza
|
|
|
|
# Ndiyo, na manabii wote
|
|
|
|
"Ni dhahili manabii wote" Neno hapa "ndiyo" linaongeza msisitizo kwa kile kinachofuata.
|
|
|
|
# tokea Samweli na wale waliofuata baada yake
|
|
|
|
"wale manabii ambao walifuata baada ya uhai wa samweli"
|
|
|
|
# siku hizi
|
|
|
|
"siku hizi" au "mambo ambayo yanatokea sasa"
|
|
|
|
# Ninyi ni wana wa manabii na wa agano
|
|
|
|
"ninyi ni warithi wa manabii" na "ninyi ni warithi wa agano."
|
|
|
|
# katika mbegu yako
|
|
|
|
"kwasababu ya uzao wako"
|
|
|
|
# familia zote za dunia zitabarikiwa.'
|
|
|
|
Anamaanisha mataifa mbalimbali yatabarikiwa kwa ajili yake.
|
|
|
|
# Baada ya Mungu kumwinua mtumishi wake,
|
|
|
|
"Baada ya Mungu kumchagua mtumishi wake" au "Baada ya Mungu kutoa mamlaka kwa mtumishi wake"
|
|
|
|
# mtumishi wake
|
|
|
|
Hii inarejea kwa Masihi wa Mungu, Yesu.
|
|
|