sw_tn/act/03/13.md

369 B

Sentensi unganishi

Petro anaendelea na hotuba yake kwa Wayahudi aliyoianza

ambaye mlimkabidhi

"ambaye mlimkamata na kumkabidhi kwa Pilato"

na kumkataa mbele ya uso wa Pilato

"yeye mlimkataa mbele ya Pilato "

yeye alipoamua kumweka huru

"Pilato alipoamua kumweka Yesu huru"

badala yake mkataka muuaji aachwe huru.

"Mlimtaka Pilato amfungulie muuaji"