forked from WA-Catalog/sw_tn
21 lines
421 B
Markdown
21 lines
421 B
Markdown
# Petro, akimkazia macho
|
|
|
|
"Petro na Yohana walimwangalia mtu huyo kwa makini na Petro akaongea"
|
|
|
|
# Kiwete akawaangalia
|
|
|
|
"kiwete aliwatazama Petro na Yohana kwa makini"
|
|
|
|
# Fedha au dhahabu
|
|
|
|
Fedha au dhahabu ilitimika kuwakilisha pesa.
|
|
|
|
# kile nilichonacho
|
|
|
|
Inafahamika kuwa Petro alikuwa na uwezo wa kumponya yule mtu.
|
|
|
|
# katika jina la Yesu Kristo
|
|
|
|
"Kupitia mamlaka na nguvu ya Jina la Yesu Kristo" lilimponya mtu yule.
|
|
|