sw_tn/act/02/37.md

426 B

Sentensi unganishi

Wayahudi wanaitikia hotuba ya Petro na Petro anawajibu.

waliposikia hivyo

"wakati watu waliposikia Petro akisema"

wakachomwa katika mioyo yao

"Maneno ya Petro yaliwachoma mioyo yao" au "kusikia hatia moyoni na kujawa na huzuni"

kubatizwa

"Turuhusu tupate kubatizwa"

Ni ahadi kwaajili yako

"Ahadi ni kwaajili yako"

wale wote walioko mbali

"WAtu wote waliombali na Mungu mioyoni mwao.