forked from WA-Catalog/sw_tn
17 lines
459 B
Markdown
17 lines
459 B
Markdown
# Sentensi unganishi
|
|
|
|
Petro anamaliza hotuba yake kwa Wayahudi aliyoianza
|
|
|
|
# Maelezo ya jumla
|
|
|
|
Petro tena ananukuu moja ya Zaburi za Daudi. Daudi hazungumzi kwa nafsi yake mwenyewe katika zaburi hii bali anazungumzia juu ya Yasu Masihi.
|
|
|
|
# mpaka nitakapowafanya adui zako kigoda kwa ajili ya miguu yako
|
|
|
|
Inamaanisha Mungu atafanya ushindi mkamilifu wa maadui wa Masihi na kuwaweka chini yake.
|
|
|
|
# nyumba yote ya Israeli
|
|
|
|
Inamaanisha taifa zima la Israeli.
|
|
|