forked from WA-Catalog/sw_tn
17 lines
424 B
Markdown
17 lines
424 B
Markdown
# watateseka
|
|
|
|
Neno "wataseka" wanamaanishwa watu wasioitii injili.
|
|
|
|
# atakapokuja sike ile
|
|
|
|
Hapa "siku ile" ni siku Yesu atakaporudi duniani.
|
|
|
|
# ili atukuzwe na watakatifu wake
|
|
|
|
Hii inaweza kusemwa katika hali halisi. AT: "watu wake waliomwamini watamtukuza "
|
|
|
|
# watastaajabishwa na wale wote walioamini
|
|
|
|
Hii inaweza kuwa katika hali tendaji. "wale wote walioamini watashangaa" au "wale wote walioamini watamshangaa yeye"
|
|
|