forked from WA-Catalog/sw_tn
33 lines
777 B
Markdown
33 lines
777 B
Markdown
# Maelezo ya Jumla:
|
|
|
|
Paulo anatoa shukrani kwa ajili ya waumini katika kanisa la Thesalonike.
|
|
|
|
# kupaswa kutoa shukrani kwa Mungu
|
|
|
|
Paulo anasema anapaswa kumshukuru Mungu mara kwa mara.
|
|
|
|
# ndugu
|
|
|
|
Hapa "ndugu" inamaanisha Wakristo wenzetu, ikijumuisha wanaume kwa wanawake.
|
|
|
|
# Hivi ndivyo ipasavyo
|
|
|
|
"kwa kuwa hiki ni kitu sahihi cha kufanya" au " ni vyema"
|
|
|
|
# Upendo ambao kwa kila mmoja amefungamanishwa na mwenzake
|
|
|
|
"mnapendana nyinyi kwa nyinyi"
|
|
|
|
# kila mtu na mwenzake
|
|
|
|
Kila mtu na mwenzake lina maanisha Wakristo wenzetu."
|
|
|
|
# sisi wenyewe
|
|
|
|
Hapa "wenyewe" limetumika kusisitiza kujisifu kwa Paulo.
|
|
|
|
# kwamba mpate kuhesabiwa kuwa mnastahili kwa ajili ya ufalme wa Mungu.
|
|
|
|
Hii inakwemwa katika muundo tendaji. AT: "kwamba Mungu atawahesu kuwa wa sehemu ya ufalme wa Mungu."
|
|
|