sw_tn/2th/01/01.md

17 lines
573 B
Markdown

# Maelezo ya Jumla:
Paulo ndiye mwandishi wa barua hii, lakini anawajumuisha Silwano na Timotheo kama wapelekwaji wa barua. Anaanza kwa kusalimia kanisa la Thesalonike.
# Maelezo ya Jumla:
Maneno "sisi" linamaanisha Paulo, Silwano naTimotheo, au kama limetumika vinginevyo. Pia neno " ninyi" ni wingi na lina maanisha waumini wa kanisa la Wathesalonike.
# Silwano
Huu ni muundo wa Kilatini "Silas." Ni mtu yule yule aliyeorodheshwa katika kitabu cha Matendo kama msafiri mwenzi wa Paulo.
# Neema iwe juu yenu
Paulo kawaida anatumia salamu hii katika barua zake.