forked from WA-Catalog/sw_tn
17 lines
573 B
Markdown
17 lines
573 B
Markdown
# Maelezo ya Jumla:
|
|
|
|
Paulo ndiye mwandishi wa barua hii, lakini anawajumuisha Silwano na Timotheo kama wapelekwaji wa barua. Anaanza kwa kusalimia kanisa la Thesalonike.
|
|
|
|
# Maelezo ya Jumla:
|
|
|
|
Maneno "sisi" linamaanisha Paulo, Silwano naTimotheo, au kama limetumika vinginevyo. Pia neno " ninyi" ni wingi na lina maanisha waumini wa kanisa la Wathesalonike.
|
|
|
|
# Silwano
|
|
|
|
Huu ni muundo wa Kilatini "Silas." Ni mtu yule yule aliyeorodheshwa katika kitabu cha Matendo kama msafiri mwenzi wa Paulo.
|
|
|
|
# Neema iwe juu yenu
|
|
|
|
Paulo kawaida anatumia salamu hii katika barua zake.
|
|
|