forked from WA-Catalog/sw_tn
407 B
407 B
Maelezo ya Jumla:
Wimbo wa Daudi kwa Yahwe unaanza. Anatumia usambaba kusisitiza akisemacho
Mungu ni mwamba wangu... Yeye ni ngao yangu, pembe ya wokovu wangu, ngome yangu.
Semi hizi zote ni alama za nguvu na uwezo wa Mungu. Zinasisitiza uwezo wa Mungu wa kulinda na kuokoa watu wake
Astahiliye kusifiwa
Yaani "anayestahili kupokea sifa"
Nitaokolewa na adui zangu
"Ataniokoa na adui zangu"