forked from WA-Catalog/sw_tn
37 lines
814 B
Markdown
37 lines
814 B
Markdown
# Iwe mbali, iwe mbali nami, hata
|
|
|
|
Hapa anarudia kifungu hiki kusisitiza kwamba asingefanya vile.
|
|
|
|
# hata nikameze au kuharibu
|
|
|
|
Hii inamaanisha kuharibu mji.
|
|
|
|
# kumeza au kuharibu
|
|
|
|
Katika vifungu vyote maana yake ni kuharibu. Katika kifungu cha kwanza "kuharibu" inasemwa kama ndiko "kumeza." Hii yaweza kuunganishwa.
|
|
|
|
# ameinua mkono wake dhidi ya
|
|
|
|
Hii inamaanisha kuasi na kupigana na mtu fulani.
|
|
|
|
# Mtoeni peke yake
|
|
|
|
Yoabu anawambia watu wa mji kumtoa Sheba peke yake.
|
|
|
|
# Nitauacha mji
|
|
|
|
Hapa "mimi" inawataja wote Yoabu na askari.
|
|
|
|
# Kichwa chake kitarushwa
|
|
|
|
Yaweza kuwa tutakurushia kichwa chake.
|
|
|
|
# Kisha mwanamke akawaendea watu wa mji katika hekima yake
|
|
|
|
Inamaanisha mwanamke alitenda kwa busara na kuongea na watu wake walichopaswa kufanya.
|
|
|
|
# kila mtu nyumbani kwake
|
|
|
|
"Kila mtu alirudi nyumbani kwake"
|
|
|