forked from WA-Catalog/sw_tn
463 B
463 B
akainama yeye mwenyewe uso wake chini mbele ya mfalme
Alifanya hivi ili kumweshimu Mfalme.
Atukuzwe Yahwe
"Atukuzwe Yahwe." Hapa "kubarika inamaanisha kutukuza.
watu walioinua mkono wao kinyume cha bwana wangu mfalme
Hapa Ahimaasi anazungumzia watu wanaompinga mfalme kama vile walikuwa wakiinua mikono yao juu yake.
fujo kubwa
Hii inamaanisha kuwa watu walikuwa wakifanya mambo kama hayakuwa sawa
Geuka kando
"Toka njiani" au "simama kando"