forked from WA-Catalog/sw_tn
758 B
758 B
Ahithofeli
Hili ni jina la mwanamke
Watu kumi na mbili elfu
"watu 12,000"
inuka na
"kuanza ku"
njoo
"Kuja kwa"
amechoka na dhaifu
Kimsingi maneno haya yanamaanisha kitu kimoja na yanatumika kwa pamoja kusisitiza jinsi Daudi alivyokuwa dhaifu.
tutamshangaza kwa hofu
Hapa neno "hofu" laweza kuelezwa kwa kisifa "kuogopa."
Nitamshambulia mfalme peke yake
Inaonesha kwamba alikusudia kumwua mfalme.
kuwarudisha watu wote
Hii inamaanisha watu wote waliokuwa pamoja na Daudi.
kama bibi harusi akija kwa mmewe
Hapa Ahithofeli anazunguza furaha ya watu kwa kulinganisha na furaha ya bibi harusi.
Kuwa katika amani
Hii inamaanisha kuwa na amani au kuishi kwa amani.
chini yako
Hii inahusu kuwa chini ya mamlaka ya mfalme.