forked from WA-Catalog/sw_tn
783 B
783 B
Mwanangu, aliyetoka katika mwili wangu
Daudi anamweleza mwanawe katika njia hii kusisitiza ukaribu uliopo kati ya baba na mwana.
anataka kuchukua uhai wangu
Hii ni njia laini ya kuonesha hali ya kumwua mtu.
Si zaidi sana mbenjamini huyu akatamani anguko langu
Daudi anatumia swali hili kuonesha kwamba hashangazwi kwamba mtu yule anataka kumwua.
anatamani anguko langu
Hapa Daudi anaelezea tamaa ya mtu ya kumwua kama vile Daudi alikuwa kitu ambacho mtu alitaka kukiangamiza.
Mwache peke yake alaani
Hapa kifungu "mwache peke yake" kinamaanisha kuacha kumzuia kufanya anachokifanya.
ataangalia
Hapa "kutazama" kunamaanisha "kujari"
maangaiko niliyofungiwa
Hapa Daudi anazungumzia maangaiko kama vile yalikuwa ni mnyama mkari ambaye Mbenjamini amemfungia.