sw_tn/2sa/16/07.md

492 B

mwovu

Mtu mwovu, mkosaji au mvunja sheria.

mtu wa damu

Hapa "damu" inaonesha watu wote aliokuwa amewaua vitani.

Yahwe amekulipa

Yahwe anawalipa kwa kuwaadhibu.

Kwa damu ya familia ya Sauli

Hapa "damu" inaonesha watu waliokuwa wameuawa kutoka katika familia ya Sauli. Mfalme alikuwa anawajibika kwa kufa kwao.

ambaye umemiliki badala yake

Daudi alitawala kama mfalme juu ya watu ambao Sauli alikuwa amewamilki.

katika mkono wa Absalomu

Hapa "mkono" unaonesha mamlaka.