forked from WA-Catalog/sw_tn
345 B
345 B
Aliomboleza kwa kina
Hapa mwandishi anazungumza maombolezo yake kama yalikuwa ndani yake zaidi.
Huzuni
Hisia kali ya huzuni iliyosababisha maumivu, kukata tamaa au matatizo
Daudi alituma na kumchukua nyumbani
Hapa neno "tuma" linamaanisha alituma mjumbe kumchukua na kumleta kwake.
Kutopendezwa
"aliyehuzunishwa" au "kasirishwa"