forked from WA-Catalog/sw_tn
465 B
465 B
Hezi
Kipindi cha mwanamke cha mwezi
na kumchukua
"na kumchukua." Daudi alimchukua mwanamke, lakini alikuwa mjumbe aliyekuwa ametumwa aliyemchukuwa na kumleta kwa Daudi.
Akaja kwake ndani, naye akalala naye
Kifungu "alikuja kwake ndani" inaonesha hali ya Daudi kufanya tendo la ndoa na mwanamke.
Alituma na kumwambia Daudi; akasema, "Niko mjamzito"
Hapa neno "alipeleka" linamaanisha kwamba alipeleka mjumbe kumwambia Daudi kwamba alikuwa mjamzito.